Skip to main content
Skip to main content

Usalama waimarishwa bungeni Kericho

  • | Citizen TV
    5,846 views
    Duration: 1:02
    Usalama umeimarishwa nje ya jengo hilo la bunge huku wawakilishi wadi wakijadili hoja ya kumtimua gavana Erick Mutai. hapo jana mahakama ya Kericho ilisimamisha kwa muda kujadiliwa kwa hoja ya kumtimua Mutai