Skip to main content
Skip to main content

Ida Odinga awataka viongozi wa ODM kusitisha uhasama

  • | Citizen TV
    11,629 views
    Duration: 4:16
    Mkewe marehemu Raila Odinga, mama Ida , amejitosa kwenye malumbano yanayoshuhudiwa ndani ya chama cha ODM, sasa akiwataka viongozi wanaolumbana kuacha uhasama wao. Ida sasa akiwashauri kutatua tofauti zao badala ya kuvuruga chama. alizungumza wakati wa kumbukumbu ya marehemu mumewe ambaye leo ni siku ya kuzaliwa kwake