Skip to main content
Skip to main content

Matokeo ya wanafunzi 1,180 yamebatilishwa kwa udanganyifu wa mtihani

  • | Citizen TV
    1,091 views
    Duration: 2:01
    Matokeo ya zaidi ya wanafunzi elfu moja yamefutiliwa mbali kwenye matukio ya mtihani wa KCSE wa mwaka jana. Hii ni kufuatia visa vya udanganyifu vilivyoripotiwa wakati wa mtihani huu.