Mashirika kadhaa katika kaunti ya Kajiado yameanza mradi kabambe unaolenga kushughulikia uwepo wa chakula cha kutosha katika kaunti hiyo inayopokea mvua haba. Mradi huu unanuiwa kuzihamasisha jamii pamoja na kuimarisha maisha yao kupitia shughuli endelevu ya ufugaji nyuki. Huku Timothy Kipnusu akitupakulia taarifa kwa kina, mradi huu unaoendelezwa na shirika la World Wide Fund hapa Kenya umewezesha wanawake wengi kujiasiriamali pamoja na kuboresha maisha ya familia zao.Mashirika kadhaa katika kaunti ya Kajiado yameanza mradi kabambe unaolenga kushughulikia uwepo wa chakula cha kutosha katika kaunti hiyo inayopokea mvua haba. Mradi huu unanuiwa kuzihamasisha jamii pamoja na kuimarisha maisha yao kupitia shughuli endelevu ya ufugaji nyuki. Huku Timothy Kipnusu akitupakulia taarifa kwa kina, mradi huu unaoendelezwa na shirika la World Wide Fund hapa Kenya umewezesha wanawake wengi kujiasiriamali pamoja na kuboresha maisha ya familia zao.
Connect with KBC Online;
Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN
Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1
Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv
Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News