Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto awasuta wakosoaji wa miradi ya serikali

  • | Citizen TV
    1,306 views
    Duration: 2:54
    Rais William Ruto ameendelea kuwasuta wapinzani wake wanaopinga mpango wa kuwapa vijana mtaji wa Nyota. Akiwahutubia vijana kutoka Nairobi, Kiambu na Kajiado, Ruto amewataka viongozi wa upinzani wakome kuwapotosha vijana wanaotafuta njia ya kujikwamua kimaisha.