- 466 viewsDuration: 1:19Watu wawili wameuawa kwenye shambulizi lililotokea katika eneo la Hulugho kaunti ya Garissa. Miongoni mwa waliouawa kwenye shambulizi hilo ni Chifu wa eneo la HILO Abdifatah Gani na Mwalimu Stephen Musili kutoka Shule ya msingi ya Hulugho