Skip to main content
Skip to main content

Mwalimu na chifu wauawa Garissa, operesheni ya usalama yaanza

  • | Citizen TV
    466 views
    Duration: 1:19
    Watu wawili wameuawa kwenye shambulizi lililotokea katika eneo la Hulugho kaunti ya Garissa. Miongoni mwa waliouawa kwenye shambulizi hilo ni Chifu wa eneo la HILO Abdifatah Gani na Mwalimu Stephen Musili kutoka Shule ya msingi ya Hulugho