Skip to main content
Skip to main content

Serikali yaweka mikakati mwafaka kufanikisha mfumo wa CBE

  • | KBC Video
    160 views
    Duration: 3:44
    Serikali inawekeza katika ustawishaji wa miundombinu ya elimu, mafunzo ya walimu na mifumo ya miongozo ya kitaaluma ili kufanikisha mpito wa mfumo wa elimu ya umilisi-CBE, ukiwemo usajili unaotarajiwa wa zaidi ya wanafunzi milioni-1 kwenye taasisi za elimu ya juu kufikia mwaka-2029. Akizungumza wakati wa kongamano la kwanza la kitaifa la kitaaluma katika jumba la mikutano ya kimataifa la Kenyatta-KICC jijini Nairobi, katibu katika idara ya elimu ya juu Beatrice Inyangala, alisema mageuzi katika ukuzaji wa mtaala tayari yanaendelea kutekelezwa katika azma ya kufanikisha utekelezaji wa mfumo huo. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive