Skip to main content
Skip to main content

Operesheni mpya ya kiusalama kuanza Isiolo

  • | Citizen TV
    840 views
    Duration: 3:31
    Serikali ilitangaza oparesheni mpya ya kiusalama ya kukabiliana na wezi wa mifugo na majangili katika kaunti za Isiolo, Samburu na Meru. Waziri wa usalama Kipchumba Murkomen, alisema oparesheni hiyo ya pamoja itahusisha wanajeshi wa KDF na shirika la kitaifa la ujasusi (NIS). Murkomen alisema vyombo hivyo vitafanya kazi kwa ushirikiano na polisi kuwaondoa majangili na kumaliza kabisa uhalifu katika maeneo hayo.