- 65 viewsDuration: 3:51Viongozi wa kidini katika kaunti ya Kakamega wameahidi kushirikiana na asasi za serikali ili kukabiliana na utumizi wa mihadarati, huku kaunti hiyo ikitajwa kuwa inayoongoza katika utengenezaji na unywaji wa pombe haramu. Taarifa hizi na zaidi katika mkusanyiko wetu wa habari za magatuzi. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive