Skip to main content
Skip to main content

Mwenyekiti wa EACC asema ufisadi umekita mizizi

  • | Citizen TV
    246 views
    Duration: 1:28
    Mwenyekiti wa tume ya maadili na kupambana na ufisadi nchini EACC David Oginde amewaonya wafanyakazi wa umma wanaojihusisha na ufisadi akisema ufisadi umekita mizizi nchini.