Skip to main content
Skip to main content

Rais amewaonya wabunge wanaojihusisha na ufisadi

  • | Citizen TV
    4,243 views
    Duration: 3:13
    Rais William Ruto sasa anasema wabunge wanaohusika na ufisadi na kula mlungula watakamatwa. Rais pia akifichua kuwa maseneta hudai hadi shilingi milioni 150 kutoka kwa magavana wanapofika mbele ya seneti kuhojiwa