- 230 viewsDuration: 1:22Tume ya uchaguzi nchini iebc imetangaza kuwa itaanza mpango wa kuwasajili wapiga kura mpya mwezi ujao. Mwenyekiti wa iebc edung ethekon katika kikao na makasisi wa kanisa mbalimbali amesema zoezi hilo litafanyika siku thelathini na mpango wa kuwasajili wapiga kura wapya milioni 6.3. Kadhalika ameahidi kuandaa uchaguzi mkuu ulio huru na wa haki .