Skip to main content
Skip to main content

Wahudumu wa afya kaunti ya Lamu watoa ilani ya mgomo

  • | KBC Video
    51 views
    Duration: 1:44
    MGOMO LAMU Wauguzi katika Kaunti ya Lamu wametoa notisi ya mgomo baada ya kukosa kuafikiana na serikali ya kaunti kuhusu matakwa yao. Wakizungumza katika Hospitali ya Mpeketoni, wauguzi hao walilalamika kuwa licha ya kuwasilisha mapendekezo yao kwa mwajiri wao mapema mwaka huu, hakuna lolote lililofanywa kuyashughulikia. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive