- 776 viewsDuration: 2:52Tume ya walimu (TSC) imewekwa kwenye darubini kuhusiana na madai ya utoaji wa barua za ajira kwa wanasiasa. Mbunge wa Nakuru West Samuel Arama ameituhumu serikali kwa kutumia barua za kuwaajiri walimu kama silaha ya kisiasa. Hii ni licha ta TSC kuwa na jukumu la kisheria la kuendesha shughuli za kuwaajiri walimu nchini.