Skip to main content
Skip to main content

Sherehe za Mwaka Mpya wa Kichina zaandaliwa jijini Nairobi

  • | KBC Video
    209 views
    Duration: 2:30
    Kenya imesema itaendelea kuimarisha uhusiano wake na China katika masuala ya diplomasia, utamaduni na uchumi ikilenga kupiga jeki utalii na kufanya wananchi wa nchi hizo mbili waelewane zaidi. Akihutubu wakati wa sherehe za Mwaka Mpya wa Kichina iliyoandaliwa Nairobi, Katibu wa utalii John Ololtuaa alisema kuwa matukio kama hayo huunganisha nchi kwa kubadilishana tamaduni na pia kusaidia kuvutia watalii kutoka nchi mbalimbali. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKNc Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/ #kbcchannel1 #news #kbclive