Skip to main content
Skip to main content

Magavana wafanya kikao na kamati ya bajeti wakitaka mgao wa Ksh 534b

  • | Citizen TV
    219 views
    Duration: 2:27
    Baraza la mawaziri kenya linapendekeza mgao wa shilingi bilioni 534 kwa kaunti katika mwaka wa kifedha wa 2026/2027. Kwenye kikao na Kamati ya Bajeti na Mgao wa Fedha huko Kilifi, magavana wanapendekeza kuongezwa kwa mgao wa bajeti kutoka shilingi bilioni 415 hadi shilingi bilioni 535 ili kuendesha shughuli za Kaunti vilivyo. Gavana wa Kakamega amesisitiza kuwa uwajibikaji wa serikali kuu katika usambazaji wa pesa kwa serikali za kaunti. Baraza la mawaziri liliafikia bajeti ya kitaifa ya shilingi trilioni 4.7 kwenye mwaka wa kifedha wa 2026/27.