- 167 viewsDuration: 1:30Tatizo la watoto kupata maambukizi sugu ya bakteria wanapozaliwa huenda likatatuliwa kwa chanjo kwa kina mama waja wazito. Taasisi ya utafiti wa kimatibabu - KEMRI - inasema kuwa idadi ya watoto wanaopata maambuziki hayo inazua wasiwasi hasw akatika kaunti za kilifi na kiambu, huku ikibainika kuwa asilimia 20 ya watoto wanaoambukizwa hufariki.