Skip to main content
Skip to main content

Mkutano wa Trump na Netanyahu utafaulu? Katika Dira ya Dunia TV

  • | BBC Swahili
    22,606 views
    Duration: 28:10
    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amekutana na Rais wa Marekani Donald Trump katika Ikulu ya Marekani. Netanyahu anatarajiwa kumshawishi Trump kuendeleza makubaliano yatakayositisha uboreshaji wa uranium nchini Iran, na pia kudhibiti hatua yake ya kuunga mkono makundi ya wapiganaji kama Hamas na Hezbollah. Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw