Skip to main content
Skip to main content

Wakazi wa Nyamache waishi kwa hofu kutokana na ongezeko la uhalifu

  • | Citizen TV
    685 views
    Duration: 3:02
    Wafanyibiashara kadhaa katika soko la Nyamache huko Bobasi kaunti ya Kisii wanaishi kwa hofu kutokana na kuongezeka kwa uhalifu. Genge la vijana lilinaswa kwenye kanda ya cctv likiiba katika duka moja la viatu eneo hilo.