19 Feb 2026 1:33 pm | Citizen TV 314 views Duration: 1:32 Katibu katika wizara ya fedha Dkt. Boniface Makokha ameongoza halfa ya kuhamasisha viongozi wa kidini eneo bunge la Mwatate kaunti ya Taita Taveta kuhusu mipango ya kiuchumi ambayo serikali kuu inatekeleza.