Skip to main content
Skip to main content

Tume ya walimu - TSC inasema kuwa ina upungufu wa shilingi bilioni 10

  • | Citizen TV
    203 views
    Duration: 1:48
    Tume ya walimu - TSC inasema kuwa ina upungufu wa shilingi bilioni 10 ili kuweza kuwahamisha walimu kwenye bima ya matibabu - SHA. Haya ni huku tume hiyo ikipewa makataa ya siku 20 kutoa vyeti vya wanafunzi ambavyo vinazuiliwa na shule mbalimbali.