- 296 views
Waziri wa usalama wa kitaifa Profesa Kithure Kindiki ametangaza mpango wa kushughulikia maslahi ya maafisa wa polisi ili kuwapa motisha katika utendakazi wao. Miongoni mwa Masuala yatakayojadiliwa katika vikao vitakavyojumlisha maafisa na umma ni mishahara yao ambayo waziri kindiki amekiri kua ni ya kiwango cha chini. Waziri huyo alizungumza alepotembelea chuo cha mafunzo cha maafisa wa polisi eneo la Embakasi akiandamana na inspekta jenerali wa polisi Japhet Koome akiongeza kuwa katika siku za usoni polisi hawatahusishwa katika shughuli za kisiasa ambazo hazipo kwenye maelezo ya kazi zao. Maslahi ya maafisa hao yanatarajiwa kushughulikiwa hivi karibuni kama jambo la dharura.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #usalama #News #polisi #kithurekindiki
Serikali yatangaza hatua za kuboresha utendakazi wa polisi
- 16 Jul 2025 - The family of James Nayo, a 37-year-old fisherman fatally shot during the Saba Saba demonstrations in Naivasha, is demanding justice following a postmortem that revealed he was shot from behind.
- » Africa’s environment ministers convene in Nairobi amid push for bold climate, forest, plastics action16 Jul 2025 - The 20th Ordinary Session of the African Ministerial Conference on the Environment (AMCEN-20) officially opened in Nairobi on Wednesday, July 16, 2025.
- 16 Jul 2025 - The rift between the Kenya National Police Service Commission (NPSC) and the command of the Kenya Police continues to widen, with the commission now claiming that the police are preventing it from executing its constitutionally mandated functions.
- 16 Jul 2025 - A Kisumu court has on Wednesday, July 16, sentenced a mentally ill woman to serve a three-year non-custodial term with mandatory psychiatric treatment after she was found guilty of killing her six-month-old son.
- 16 Jul 2025 - Rex was shot during the anti-finance bill protests in 2024.
- 16 Jul 2025 - The Ministry of Health has now called on Kenyans to remain calm, following the reported cases of deaths due to an unidentified illness in Mombasa.
- 16 Jul 2025 - Wednesday's revelations opened yet another warfront between the service and its parent commission, months after the two entities settled a dispute over who holds the mandate for police promotions.
- 16 Jul 2025 - President William Ruto has asked leaders to stop inciting young people to violence and chaos and instead be part of the solution to the challenge of youth unemployment.
- 16 Jul 2025 - The plan was brought to Kenyans' attention by Ndindi Nyoro.
- 16 Jul 2025 - The Malaba Law Court has sentenced to 30 years imprisonment a school watchman it found guilty of defiling a 12-year-old school girl in Teso North, Busia County.