Skip to main content
Skip to main content

Chuo kikuu cha Kenyatta waanza vyema kampeni ya kutetea taji la mpira wa kikapu Nakuru

  • | Citizen TV
    262 views
    Duration: 48s
    Mabingwa watetezi wa michezo ya vyuo vikuu nchini, chuo kikuu cha Kenyatta, walianza vyema kampeni yao ya kutetea taji la mpira wa kikapu kwa wachezaji watatu kila upande kwa kukilaza chuo cha maseno katika mechi ya ufunguzi iliyochezwa katika uwanja wa chuo cha Kabarak, Nakuru