- 284 viewsDuration: 1:30Askofu Mkuu wa kanisa la Kianglikana nchini Jackson Ole Sapit, sasa anaitaka tume ya uchaguzi nchini kuzima kwa haraka nyuzi joto za siasa zinazoendelea kupanda, zaidi ya mwaka mmoja unusu kabla ya uchaguzi mkuu mwakani. Sapit akikemea kuongezeka kwa matumizi ya magenge katika mikutano ya kisiasa, akionya kuwa tabia hiyo inahatarisha usalama na uthabiti wa taifa. Aidha amewataka wanasiasa kuzima kelele za siasa za malumbano na kushughulikia huduma kwa wakenya .