Skip to main content
Skip to main content

Wizara ya Afya katika Kaunti ya Trans Nzoia imeanzisha harakati za kukabiliana na vifo vya kina mama

  • | Citizen TV
    299 views
    Duration: 3:23
    Wizara ya Afya katika Kaunti ya Trans Nzoia imeanzisha harakati za kukabiliana na vifo vya kina mama na watoto wakati wa kujifungua. Hatua hii ikifanikishwa kufunguliwa kwa hospitali mpya ili kuhakikisha huduma zinafika karibu na wakazi. Collins Shitiabayi anaarifu zaidi