- 1,460 views
Agizo la mahakama kuhusu kusitishwa kwa msasa wa makatibu wateule litaendelea kutekelezwa hadi tarehe ishirini na tisa mwezi huu ambapo kesi hiyo itasikizwa. Jaji Nduma Nderi amekataa kuondoa makataa hayo na kuagiza kujumuishwa kwa kesi zingine mbili zilizowasilishwa mahakamani kupinga uteuzi na msasa wa makatibu hao wateule. Bunge liliwasilisha kesi kudai kuwa mahakama ya ajira na leba haina mamlaka ya kusikiza kesi hizo na kusema kuwa iwapo suala hilo halitatatuliwa kabla ya siku 28 kukamilika, basi makatibu wateule wataapishwa na kuanza kazi. Mwanasheria mkuu pia aliwasilisha rufaa kupinga uamuzi wa mahakama uliositisha mahojiano ya makatibu wateule. Rufaa hiyo itasikizwa hapo kesho
Mahakama yaongezea muda agizo la kusitisha msasa wa makatibu wateule
- 18 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament (MP) Jayne Kihara, who was arrested on Thursday, is facing charges of incitement with intent to provoke a breach of the peace in connection with the Saba Saba protests.
- 18 Jul 2025 - A multi-agency team led by officers from the Obama Police Station in Kayole carried out a night raid on Thursday targeting illicit alcohol brewing dens in the Mwengenye area, near the Dandora Bridge along the Nairobi River.
- 18 Jul 2025 - Members of Parliament have raised concerns over delayed justice within the Judicial system, calling on judges to expedite case processing.
- 18 Jul 2025 - Naivasha Member of Parliament (MP) Jayne Kihara has been presented at the Milimani Law Courts following her arrest on Friday.
- 18 Jul 2025 - According to DCI, the seized drugs have an estimated street value of Sh6.7 million.
- 18 Jul 2025 - The article gained significant traction globally, prompting the government's response.
- 18 Jul 2025 - Investigations are ongoing to identify and apprehend the individuals involved in the brewing operation.
- 18 Jul 2025 - Many social media users criticised the ban as sexist, invasive, and paternalistic.
- 18 Jul 2025 - The Insurance Regulatory Authority (IRA) has announced the cancellation of operational licences for twenty insurance brokers. In a Gazette Notice published on Friday, 18th July 2025, the Authority stated: “The Insurance Regulatory Authority (IRA) hereby…
- 18 Jul 2025 - The authority stated that the firms have been deregistered in accordance with the law.