- 66 views
Shughuli za usafiri zilikatizwa kwenye barabara kati ya Machakos na Makueni baada ya wanafunzi wa chuo kikuu cha Machakos kukabiliana na polisi wakilalamikia usalama duni. Polisi walilazimika kutumia vitoa machozi kuwatawanya wanafunzi hao waliokuwa wakiandamana kulalamikia kuongozeka kwa visa vya uhalifu. Wanafunzi hao walisema wenzao wameshambuliwa na magenge ya wahalifu bila hatua zozote kuchukuliwa kukabiliana na hali hiyo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1news Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #maandamano #News
Ukosefu wa usalama | Wanafunzi chuoni Machakos waandamana
- - Duniani Leo ››
- 29 Apr 2024 - CS Machogu explained it was due to the ongoing floods
- 29 Apr 2024 - Reading Time: 4 minutes Before 79-year-old Angela Wanjiru’s family picked up on her disquieting episodes of forgetfulness and repetitiveness, all appeared well on the […]
- 29 Apr 2024 - At least 15 killed in Israeli airstrikes on Rafah
- 29 Apr 2024 - CS Machogu says the effects of the rains in some of schools are so severe that it would be imprudent to risk the lives of learners
- 29 Apr 2024 - Kiambu Governor Kimani Wamatangi says aggrieved leaders had hoped to win tenders.
- 29 Apr 2024 - Botswana's OSEC program offers rural children opportunity for preschool education
- 29 Apr 2024 - Hamas official says no agreement with Israel if war continues in Gaza
- 29 Apr 2024 - Reading Time: 3 minutes Calls for the postponement of the re-opening of schools following the raging floods across the country intensified yesterday even as […]
- 29 Apr 2024 - Pro-Palestine protests heat up in U.S. despite crackdowns
- 29 Apr 2024 - Three incidents of police and KDF soldiers scuffles recorded in two weeks.