Skip to main content
Skip to main content

Rais atangaza tarehe 27 agosti kuwa katiba dei

  • | Citizen TV
    8,188 views
    Duration: 32s
    Rais William Ruto ametangaza tarehe 27 agosti kuwa sikukuu ya kuadhimisha siku ya katiba. Kulingana na rais, katiba dei itakuwa ya kukumbuka siku ya kuidhinishwa kwa katiba ya mwaka wa 2010.