Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Ukraine wafariki katika ajali ya helikopta
Watu watatu wakuu katika wizara ya mambo ya ndani ya Ukraine wameuawa katika ajali ya helikopta kando ya kitalu katika kitongoji cha mashariki mwa mji mkuu Kyiv.
Waziri wa Mambo ya Ndani Denys Monastyrsky, 42, alikufa pamoja na naibu wake wa kwanza wa waziri na katibu wa serikali.
Watu 16 walikufa wakati helikopta hiyo ilipoanguka huko Brovary, wakiwemo watoto watatu, kulingana na maelezo yaliyosasishwa kutoka kwa rais wa Ukraine.
Bw Monastyrsky ndiye muathirika wa juu zaidi wa Ukraine tangu vita kuanza.
#bbcswahili #Ukraine #Kyiv
21 Aug 2025
- Around 85 per cent of professionals working in Kenya's healthcare sector are graduates of KMTC.
21 Aug 2025
- The move came after FKF appealed an initial sanction.
21 Aug 2025
- She also used the proceeds to buy a multimillion-dollar property.
21 Aug 2025
- The Elimu Bora Working Group is demanding that President William Ruto make public the report and recommendations of the presidential working party on education reform.
21 Aug 2025
- Public Service Ministry Unveils Bold Reforms, Eyes Future-Ready Civil Service
21 Aug 2025
- Instead of proceeding to Kamukunji, his allies, led by Nyandarua Senator John Methu, took the stage, with Methu issuing a fiery warning to President William Ruto.
21 Aug 2025
- The Kenya Wildlife Service has relocated four rhinos from the Meru National Park to the Loisaba Conservancy, marking
21 Aug 2025
- From intimate moments to legal showdowns, parents navigate the hardest lessons of love and family.
21 Aug 2025
- Democracy for Citizens Party (DCP) Deputy Party Leader Cleophas Malala has intensified support for the party’s candidates ahead
21 Aug 2025
- According to the NECC, the elections will stand postponed until further notice.
21 Aug 2025
- Democracy for the Citizens Party (DCP) leader Rigathi Gachagua has cancelled his planned address to the public at
21 Aug 2025
- Around 85 per cent of professionals working in Kenya's healthcare sector are graduates of KMTC.
21 Aug 2025
- United Democratic Alliance (UDA) Secretary General, Hassan Omar, has expressed confidence that the party will emerge victorious in