- 230 views
Hussein Gufu ameibuka mshindi kwenye shindano la Interswitch ambalo limekuwa likipeperushwa na runinga ya citizen. Mshindi wa shindano hilo amepata ufadhili wa masomo wa shilingi 1.5m na kipakatalishi huku walioibuka wa pili na tatu wakipata Ksh 750,000 na Ksh 150,000 na kipakatalishi kila mmoja. Shindano hilo ambalo lilijumuisha mafunzo, teknolojia na burudani lilinuia kuwatambua na kuwakuza wanafunzi wanaoenzi masomo ya sayansi. mashindano hayo kwa jina InterswitchSPAK hufanyika kila mwaka na kuwashirikisha wanafunzi kutoka shule za upili za umma na za kibinafsi. shindano hilo hufanyika kwa ushirikiano na wizara ya elimu, na wadau wengine na huwashirikisha wanafunzi wa kidato cha tatu walio na umri wa kati ya miaka 15 na 18
Hussein Gufu aibuka mshindi kwenye shindano la InterswitchSPAK
- 16 Jun 2025 - Deputy Inspector General (DIG), Kenya Police Service Eliud Kipkoech Lagat has resigned.
- 16 Jun 2025 - Deputy Inspector General (DIG), Kenya Police Service Eliud Kipkoech Lagat has resigned.
- 16 Jun 2025 - The National Social Security Fund (NSSF) has dismissed the Auditor General’s report for the financial year ending June 2024, which flagged a series of questionable expenditures and failed investments totaling billions of shillings.
- 16 Jun 2025 - Interior Cabinet Secretary (CS) Kipchumba Murkomen has announced a new raft of policy reform frameworks in the National Police Service (NPS) to streamline efficiency in police stations across the nation.
- 16 Jun 2025 - Government Spokesperson Dr. Isaac Mwaura has come out to dispel reports that Kenya is involved as an architect in the Sudan war.
- 16 Jun 2025 - Tanzanian opposition leader Tundu Lissu told a court on Monday he had been denied his basic legal rights and that he would defend himself against a treason charge that carries the death penalty.
- 16 Jun 2025 - The court has outlined a series of tough conditions to be met by the accused.
- 16 Jun 2025 - The former CJ accused top officers of lying under oath to cover up the death.
- 16 Jun 2025 - Kenyans could find it impossible to go to the United States in the coming weeks if a ban takes effect.
- 16 Jun 2025 - A life-changing education initiative empowers vulnerable girls to dream big and break free from cycles of oppression.