- 64 views
Eneo la magharibi linaongoza kwa matumizi ya pombe na mihadarati kwa asilimia 23.8 ikifuatwa na pwani kwa asilimia 13.9% na Mlima Kenya ikifuata na asilimia 12.8%. hii ni kulingana na ripoti iliyozinduliwa hii leo na mamlaka ya kukabiliana na utumizi wa mihadarati (NACADA) inayoonyesha kuwa zaidi ya wakenya milioni 3 wanatumia mihadarati, cha kutamausha ni kuwa watoto wenye umri wa kati ya miaka sita na minane, wamefunzwa unywaji pombe na utumizi wa dawa za kulevya. Malezi mabaya na upatikanaji rahisi wa pombe umechangia pakubwa katika janga la uraibu wa mihadarati.
Ripoti ya NACADA kuhusu utumizi wa pombe na mihadarati nchini
- - LIVE| NEWS NOW ››
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
- 19 May 2024 - Firm charts green energy path with low-carbon emission engines
- 19 May 2024 - CA pushes for Sh88.5b nation-wide broadband
- 19 May 2024 - Kabarak, FKE unite to bridge industry gaps
- 19 May 2024 - Ruto allies accuse leaders of tribalism over Limuru 3
- 19 May 2024 - New Eco Levy threatens Kenya's green future and jobs, say experts