Skip to main content
Skip to main content

Maskwota wa Kimwani huko Nandi wadai walipokonywa shamba

  • | Citizen TV
    316 views
    Duration: 1:37
    Familia zaidi ya 10,000 ziliokuwa zikiishi katika shamba la ekari elfu kumi maeneo ya Kimwani eneo bunge la Tindiret Kaunti ya Nandi zinaitaka serikali kuzirejeshea shamba hilo lilitwaliwa na serikali ya hayati Rais Moi.