- 945 views
seneta wa busia Okiya Omtatah na watu wengine wanne wametoa ilani ya kuwasilisha rufaa katika makahaka ya upeo kupinga uamuzi wa mahakama ya rufaa ulioidhinisha utekelezaji wa sheria ya fedha. Omtatah, eliud karanja matindi, benson odiwor otieno na blair ongima oigoro wanasema kuwa hawajaridhishwa na uamuzi wa mahakama ya rufaa kuhusu sheria ya fedha ya mwaka 2023/24, uliotolewa na majaji Mohammed Warsame, Kathurima M’Inoti na Hellen Omondi. majajihao waliweka kando uamuzi wa awali wa mahakama kuu wakisema kuwa wameridhishwa na kauli ya serikali kuwa imekuwa ikipoteza zaidi ya shilingi nusu bilioni kila siku ambayo sheria ya fedha haitekelezwi.
Omtatah kukata rufaa katika Makahaka ya Upeo
- 18 Aug 2025 - A businessman has been arraigned in court over allegations of defrauding a foreign national of Ksh.223 million in a fake gold deal.
- 18 Aug 2025 - A woman accused of defrauding a businesswoman of Ksh.36 million has been released on a Ksh.3 million cash bail.
- 18 Aug 2025 - Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced plans to set up a joint committee with the CEOs of insurance companies across the country to tackle fraudulent activities that have been plaguing the Social Health Authority (SHA).
- 18 Aug 2025 - Several passengers sustained injuries when a matatu veered off Magadi Road in the wee afternoon hours of Monday,
- 18 Aug 2025 - President William Ruto has vowed to ensure that Members of Parliament and Senators behind an extortion scheme called soko huru are apprehended.
- 18 Aug 2025 - The death toll from a blast at a gunpowder plant near Moscow rose to 20, with more than 100 wounded, the authorities said on Monday, as a probe began into possible industrial safety violations.
- 18 Aug 2025 - Cabinet Secretary for Public Service, Human Capital Development and Special Programmes, Geoffrey Ruku, has announced that the government
- 18 Aug 2025 - Campaign targets licensed manufacturers, retailers, and consumers involved in illegal alcohol and drug trade
- 18 Aug 2025 - Gachagua is set to be back in the country on Thursday, August 21.
- - Ruto to MPs: Some of your colleagues pocketed Sh10m to pass anti-money laundering law