- 979 views
Mahakama ya upeo inatoa uamuzi wake kuhusu rufaa iliyokatwa na Seneta wa Busia Okiya Omtatah kupinga uamuzi wa mahakama ya rufaa ulioruhusu utekelezaji wa sheria ya fedha ya mwaka 2023. kwenye rufaa yake, Omtatah anaitaka mahakama kubatilisha uamuzi wa majaji Mohammed Warsame, Kathurima M’Inoti na Hellen Omondi ulioiruhusu hazina ya kitaifa kuendelea na utekelezaji w ampango wake wa kutekeleza bajeti ya shilingi trilioni 3.6. Omtatah anaitaka mahakama ya upeo kusitisha utekelezaji wa sheria ya fedha unaowatoza wakenya ushuru zaidi hadi pale kesi iliyowasilishwa kwenye mahakama kuu kupinga uhalali wa sheria hiyo itakaposikilizwa na kuamuliwa. kwenye uamuzi wa mahakama ya rufaa, majaji hao watatu walisema wananchi wangeweza kurejeshewa ushuru wa ziada waliolipa iwapo mahakama kuu itaamua kuwa sheria hiyo ni kinyume na katiba.
Mahakama ya upeo kutoa uamuzi kuhusu kesi ya Seneta Omtatah kupinga Sheria ya Fedha ya 2023
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction
- 6 Jul 2025 - 35 years later, Saba Saba continues: Meeting of different generations, same script
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted