- 413 viewsWaziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken amekutana na Rais wa Kenya William Ruto mjini New York Alhamisi pembeni ya kikao cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa. Ruto ameweka nia ya dhati kuwa nchi yake itaongoza kikosi cha kimataifa nchini Haiti kupambana na magenge yenye silaha ya kivita licha ya wakazi wa nchi zote hizo mbili kudadisi mpango huo unaosukumwa na serikali ya Marekani. Marekani imeipongeza Kenya kwa kufikiria kuongoza kikosi kinacho ungwa mkono na Umoja wa Mataifa wakati nchi nyingine zimesita, na Marekani inaandika rasimu ya azimio la Baraza la Usalama la UN kuruhusu kikosi hicho kupelekwa Haiti. -AP #rais #kenya #waziri #mamboyanje #antonyblinken #williamruto #haiti #kikosichakimataifa #magenge #voa #voaswahili #unga #barazalausalama - - - - - #VOASwahili Sauti ya Amerika - Idhaa ya Kiswahili inawafikia zaidi ya watu milioni 100 wanaotembelea tovuti, mitandao ya kijamii, radio na televisheni zetu. Tunawasilisha maudhui kuhusu Afrika Mashariki na Kati kwa nchi takriban 11 huko Afrika na wale walioko ughaibuni na kwingineko duniani. Vipindi vyetu vimejikita katika maudhui mbalimbali ikiwemo habari, vijana, wanawake, siasa, sayansi, teknolojia, afya, biashara, michezo, muziki na burudani na pia tunawashirikisha wasikilizaji wetu.
Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani Antony Blinken akutana na Rais wa Kenya William Ruto
- - KTN Newswrap ››
- - Woodley Evictions ››
- 10 May 2025 - The United Democratic Alliance (UDA) disciplinary committee has summoned Nominated Senator Gloria Owoba over her conduct that contravenes the party's Code of Conduct.
- 9 May 2025 - Suppliers owed hundreds of billion shillings by the government will be paid before the end of the year, President William Ruto has announced.
- 9 May 2025 - Orange Democratic Movement (ODM) leader Raila Odinga has advised the party's Secretary General Edwin Sifuna to tone down on his criticism of ODM leaders who joined the government under the broad-based partnership.
- 9 May 2025 - The government has set aside Ksh.950 million in the current financial year to settle claims from victims injured by wild animals.
- 9 May 2025 - Political leaders paid emotional tributes to the late Kasipul Member of Parliament Charles Ong'ondo Were during his funeral held in Oyugis, Homa Bay County.
- 9 May 2025 - CS's vow round up week of chaos at University of Nairobi.
- 9 May 2025 - "I said, 'Are you ready for this?' I said, 'Did you watch the movie Conclave so you know how to behave?'"
- 9 May 2025 - The Kisumu governor said he is fully aligned with Raila on the issue.
- 9 May 2025 - ODM leader says the killers of the legislators are known and must be brought to book.
- 9 May 2025 - Widows across the country have been encouraged to join women-led groups to gain access to essential investment and empowerment opportunities. This call to action was made during an empowerment event in Marsabit County, which brought together…