- 23 views
hali ya hofu imetanda kwa watahiniwa katika shule nane za msingi eneo la Baringo kusini kaunti ya Baringo kutokana na kudhorora kwa hali ya usalama katika eneo hilo. Hali ya taharuki imetanda eneo hilo kufuatia mauaji ya afisa wa polisi wa akiba ‘KPR’ katika shule ya upili ya Kiserian wikendi iliyopita na kuwalazimu watahiniwa kutoroka na kujificha.Tukio hilo likiwafanya wazazi kuwaondoa wanafunzi kutoka shule hizo kwa hofu za kiusalama……UPS….Walimu kutoka shule zilizoathirika sasa wameitaka serikali kuingilia suala hilo kwa haraka wakidai majangili huenda wanapanga njama ya kuwavamia wanaposafirisha vifaa vya mitihani eneo hilo………UPS: BK/BK……..Hayo yakijiri, mitihani ya usanii wa vitendo ilianza leo huku walimu kutoka Nandi wakiitaka tume ya huduma kwa walimu TSC kuwaajiri walimu zaidi wa masomo ya mziki na lugha za kigeni ili kupiga jeki ukuaji wa hitaji la masomo hayo unaoshuhudiwa…UPS………Mtihani wa kitaifa wa shule za msingi KCPE Utaanza rasmi juma lijalo.
BC Channel 1 brings you the Mashujaa Day 2023 celebrations held in Kericho County. Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Hali ya hofu kutanda eneo la Baringo kutokana na kudhorora kwa hali ya usalama katika eneo hilo
- 18 May 2024 - COTU Secretary General Francis Atwoli now says the upcoming meeting of leaders drawn from the Western Kenya region at the Bukhungu Stadium in Kakamega County will rattle the country’s political landscape.
- 18 May 2024 - Prime Cabinet Secretary Musalia Mudavadi has cautioned leaders against taking the country back to dark days when politics of ethnicity were commonplace.
- 18 May 2024 - President William Ruto's allies have come out guns blazing to dismiss the Limuru III meeting that happened on Friday, terming it as a divisive way of trying to push an agenda and undermine the Kenya Kwanza rule.
- 18 May 2024 - The Vatican on Friday tightened procedures for evaluating reported supernatural events such as weeping Madonnas and blood-dripping crucifixes that have for centuries whipped up the Catholic faithful.
- 18 May 2024 - The Ministry of Health has warned of possible outbreaks of waterborne diseases and other infections in schools following the recent floods experienced in most parts of the country.
- 18 May 2024 - Cases of bird flu have been confirmed among wild fowl in western China, the agriculture ministry said on Saturday, as concerns grow over a U.S. outbreak infecting cattle herds.
- 18 May 2024 - The shilling has strengthened against the Euro and the Sterling Pound by 18 per cent.
- 18 May 2024 - Motorists urged to comply with traffic rules to reduce the high numbers reported
- 18 May 2024 - EACC has recommended the prosecution of politician Cyrus Jirongo, FKF President Nick Mwendwa and former Sports PS Amb. Peter Kaberia.
- 18 May 2024 - On Friday, 14 MPs from the Democratic Party accused the House Speaker of disrespecting Kenya.