- 21 views
Vijana wametolewa changamoto ya kujinufaisha kupitia nyanja ya kidijitali kutokana na uwekezaji unaoendelezwa na serikali. Huu ulikuwa wito wakati wa mahafali ya kuhitimu kwa wanafunzi katika taasisi ya mawasiliano nchini KIMC katika mtaa wa South B, Nairobi. Waziri wa habari, mawasiliano na uchumi wa kidijitali Eliud Owalo alitoa changamoto kwa wanafunzi waliohitimu kukumbatia fursa zinazopatikana katika nyanja ya teknolojia ili kubuni maudhui na vilevile kudumisha uadilifu wa uandishi wa habari na kubainisha ukweli kabla ya kuchapisha taarifa. Wakati wa hafla hiyo, watahiniwa 457 walikabidhiwa vyeti vya Diploma na vyeti vya taaluma mbalimbali.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Waziri Owalo aongoza mahafali Chuoni KIMC
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
- 19 May 2024 - Police are investigating an incident in which a young man was shot dead during a violent confrontation between rival groups in Thika, Kiambu County, on Friday evening.
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - Counties leaders demand higher stake in tea estate sale
- 19 May 2024 - CA pushes for Sh88.5b nation-wide broadband
- 19 May 2024 - Kabarak, FKE unite to bridge industry gaps