- 28 views
Baraza la madaktari na wataalamu wa meno nchini –KMPDC kimetakiwa kuimarisha msako wake dhidi ya hospitali ambazo zinahudumu bila leseni na zile hazijasajiliwa. Kulingana na katibu wa idara ya afya ya Umma Mary Muthoni, hatua hiyo italainisha sekta hiyo ambayo imevamiwa na madaktari bandia. Muthoni anasema ukosefu wa ujuzi umesababisha visa vingi vya upuuzaji wa kanuni za matibabu na kasoro katika kutambua magonjwa hali inayohatarisha maisha ya wagonjwa. Haya yanajiri huku chama cha maafisa wa matibabu kikitoa makataa ya siku 21 ya kutekelezwa kwa matakwa yao yakiwemo nyongeza ya mishahara la sivyo kiitishe mgomo.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Mzozo Sekta Ya Afya: Ilani ya siku 21 ya mgomo yatolewa
- 19 May 2024 - Hundreds of protesters in Peru's capital marched on Friday to demand the scrapping of a new law that describes transgender people, among others, as having a mental illness so they can access health benefits.
- 19 May 2024 - Israeli troops and tanks pushed on Saturday into parts of a congested northern Gaza Strip district that they had previously skirted in the more than seven-month-old war, killing and wounding dozens of Palestinians, medics and residents said.
- 19 May 2024 - Slovakia's health minister said Saturday the prognosis for Prime Minister Robert Fico was "positive" after an assassination attempt as a court put the suspected gunman in pre-trial detention.
- 19 May 2024 - Hundreds of residents from Cheptigit village in Kerio Valley will spend the night in the cold after the Kenya Wildlife Service (KWS) embarked on the demolition of houses for what it terms as encroachment.
- 19 May 2024 - The Orange Democratic Movement (ODM) party MPs have rallied to have the Azimio coalition shoot down the Finance Bill, 2024 terming it punitive and unbearable.
- 19 May 2024 - Police are investigating an incident in which a young man was shot dead during a violent confrontation between rival groups in Thika, Kiambu County, on Friday evening.
- 19 May 2024 - Police probe fatal shooting incident over market space dispute
- 19 May 2024 - 10,000 gather for Bohra spiritual leader's week-long celebrations
- 19 May 2024 - Counties leaders demand higher stake in tea estate sale
- 19 May 2024 - Firm charts green energy path with low-carbon emission engines