- 39 views
Kiongozi wa muungano wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga amekosoa ubomozi wa nyumba zilizojengwa kwenye ardhi ya serikali katika eneo la Milimani, kaunti ya Kakamega ili kutoa fursa ya ujenzi wa nyunba za gharama nafuu. Raila anadai mradi huo umeghubikwa na usiri mkubwa kwani hakukuwa na vikao vya ushirikishi wa umma kabla ya uzinduzi wake na hivyo unapaswa kusitishwa kwa kuzingatia uamuzi wa mahakama uliosema kwamba ushuru wa nyumba unakiuka katoiba. Odinga anasisitza kwamba mapendekezo mengi ya ripoti ya kamati ya kitaifa ya mashauriano yanaweza kuafikia tu kupitia kura ya maamuzi, msimamo unaopingwa vikali na mrengo wa Kenya Kwanza.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.com/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1tv Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#KBCchannel1 #Kenya #News
Raila akosoa ubomozi wa nyumba Kakamega
- 6 Jul 2025 - Japan's government on Saturday warned of more possible strong earthquakes in waters southwest of its main islands, but urged the public not to believe unfounded manga comic-book predictions of a major disaster.
- 6 Jul 2025 - Traders affected by the recent demonstrations held in honour of victims of last year’s anti-Finance Bill protests are now struggling to rebuild their lives and livelihoods.
- 6 Jul 2025 - Deputy President Kithure Kindiki and other leaders backing the broad-based government have intensified attacks on the opposition, calling for unity to heal the nation.
- 6 Jul 2025 - The High Commission of Rwanda in Kenya has marked 31 years of liberation — a commemoration of the country’s remarkable transformation, from a painful past under an oppressive regime to a future defined by unity, progress, and resilience.
- 6 Jul 2025 - Parliament's CDF coup: The Senate should halt this constitutional heist
- 6 Jul 2025 - Opposition leaders slam Ruto over state house church plans
- 6 Jul 2025 - Saba Saba's long harvest and why struggle is never wasted
- 6 Jul 2025 - Joho leads Coast MPs in Ruto campaign
- 6 Jul 2025 - Mr President you risk bringing idolatry in church, State House
- 6 Jul 2025 - Kenya today: An angry nation sliding towards self-destruction