Skip to main content
Skip to main content

IPOA yasema kuwa inachunguza kifo tata cha Simon Warui aliyefariki Korokoroni Mombasa

  • | Citizen TV
    1,540 views
    Duration: 3:13
    Warui aliripotiwa kufariki ndani ya seli ya Central Mombasa.Taarifa ya polisi inadai kuwa alikuwa ameiba Nairobi. Mashirika ya haki sasa yanataka uchunguzi wa haraka