Skip to main content
Skip to main content

Maandalizi ya siku ya Mashujaa yanaendelea kukamilika katika kaunti ya Kitui

  • | Citizen TV
    254 views
    Duration: 1:12
    Kamishena wa Kitui Kipchumba Ruto amewaongoza viongozi kujadiliana kuhusu mpango wa kuimarisha usalama wakati wa sherehe za mashunjaa ambazo zitaandaliwa katika kaunti ya Kitui mwezi ujao.