Skip to main content
Skip to main content

Rais Ruto ashinikiza ufadhili wa miradi endelevu ya kawi safi katika mataifa ya bara Africa

  • | Citizen TV
    193 views
    Duration: 1:50
    Rais William Ruto amesema kuwa mataifa ya bara Africa yanafaa kufanya kipaumbele shinikizo la ufadhili wamiradi endelevu ya kawi safi barani akizungumza pembezoni kwa kongamano la umoja wa mataifa la marais linaloendelea jijini Newyork, Marekani , Rais Ruto amesema kuwa uhifadhi wa mazingira unachangia pakubwa ustawi wa kiuchumi