Skip to main content
Skip to main content

Huduma za matibabu ya figo zarejelewa Kerugoya kaunti ya Kirinyaga

  • | Citizen TV
    124 views
    Duration: 50s
    Huduma za wagonjwa wa figo zimerejelewa katika Hospitali ya Kerugoya, kaunti ya Kirinyaga, baada ya kusitishwa kwa muda kutokana na kuharibika kwa mashine za kusafisha damu.