Skip to main content
Skip to main content

Washukiwa wawili katika biashara ya kusafirisha misandali wakamatwa

  • | Citizen TV
    666 views
    Duration: 2:46
    Miti ya misandali yenye uzani wa Tani saba nukta nane na yenye thamani ya shilingi milioni nane, imetekezwa katika kituo Cha polisi Cha Maralal, Kaunti ya Samburu. Huku washukiwa wawili wanaokisiwa kuhusika na biashara hiyo wakizuiliwa.