Skip to main content
Skip to main content

INFOTRAK yatoa kura ya maoni

  • | Citizen TV
    2,607 views
    Duration: 1:16
    Utafiti wa hivi punde wa kura ya maoni unaonyesha kuwa wakenya wengi zaidi asilimia 57% wanasema kuwa taifa linaenlekea pabaya.Sababu kuu zinazotajwa ni gharama kubwa ya maisha, utawala mbaya, na ukosefu wa ajira ambao unaongoza pwani na nairobi.