Mlipuko wa Ugonjwa wa macho wa Conjunctivitis
Ugonjwa wa macho unaojulikana kama Conjunctivitis, ama jicho jekund umeripotiwa katika baadhi ya maeneo Afrika Mashariki ikiwemo Dar es Salaam Tanzania, Mombasa na Kwale katika Pwani ya Kenya.
Wengi wa wale wanaougua ugonjwa huu wanakuta macho yao yakiwa mekundu, na yakitoa machozi pamoja na uchafu, huku wagonjwa wengi pia wakilalamikia kuumwa na kichwa.
Sasa ugonjwa huu unaambukiza vipi? Na unapaswa kufanya nini ili kujizuia usikupate? Huyu hapa Isabella Mwagodi na majibu ya maswali hayo...
#bbcswahili #tanzania #kenya
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
11 May 2024
- Kenyans are currently paying a 1.5% housing levy and gearing up for a 2.5% health insurance contribution.
11 May 2024
- Kenyans.co.ke takes a look at five taxes and how they will affect the taxpayer.
11 May 2024
- The weatherman also projected how weather in Nairobi is expected to behave.
12 May 2024
- Foes become friends as floods bring people together in Jiji Ndogo
12 May 2024
- Those pushing for the summit are mainly allied with the opposition Azimio la Umoja One Kenya alliance.
12 May 2024
- Ruto would have been the second African leader to address Congress after Ellen Johnson Sirleaf.
12 May 2024
- Veronica Mwende's tale of perseverance, resilience, and strength to overcome societal stigma and systemic obstacles
12 May 2024
- Death has a way of bringing to life conversations of culture, wrapped in political garb.
12 May 2024
- The human rights of perhaps millions have been affected. But there is no effective remedy.
12 May 2024
- Focus should be on protecting and supporting the city's most vulnerable residents.
12 May 2024
- Government must advance nurses' rights and lessen their strain
12 May 2024
- Mombasa locals living in fear after dreaded youthful gangs strike again
12 May 2024
- KMPDU defends return-to-work deal amid grumbling it abandoned interns