- 46 views
Wakazi wa kijiji cha Nyanduma eneobunge la Lari kaunti ya Kiambu wamepigwa na butwaa wakiwaza na kuwazua kufuatia vifo vya watoto wawili waliochomeka katika nyumba yao. Watoto hao wawili yasemekana wakifungiwa kwenye nyumba na mama yao aliyeelekea kanisani na kisha moto ukateketeza nyumba hiyo. Juhudi za majirani za kuwanusuru watoto hao ziligonga mwamba kutokana na makali ya moto. Nancy Okware na taslifu kamili kuhusu mkasa huu huku polisi wakiendeleza uchunguzi.
Connect with KBC Online; Subscribe to our channel: https://t.ly/86BKN Follow us on Twitter: https://twitter.om/KBCChannel1 Find us on Facebook: https://www.facebook.com/kbcchannel1TV Check our website: https://www.kbc.co.ke/
#kbcchannel1 #news #kbclive
Watoto wawili waangamia kwenye mkasa wa moto katika kijiji cha Nyanduma, eneo la Lari
- 15 May 2025 - Uriri Member of Parliament Mark Nyamita has opined that there is no formidable force in place to remove President William Ruto from office come the 2027 General Election.
- 15 May 2025 - Former Deputy President Rigathi Gachagua has unveiled his much-anticipated political outfit, the Democracy for the Citizens Party (DCP).
- - Tanzania Vice President Mpango announces retirement to focus on fulfilling father's legacy
- - Court orders State to Gazette Musau, Minayo as media complaints commissioners
- 15 May 2025 - Matiang’i has been reaching out to leaders from other communities as he consolidates support ahead of the 2027.
- 15 May 2025 - The verdict was delivered after six years.
- 15 May 2025 - The shooting incident happened moments after the former Deputy President launched his political party.
- 15 May 2025 - The Star has established that Ruto’s speech at Peking University has found its way into the US Senate.
- 15 May 2025 - "For me, South Africa is home. It's a place where my roots and heritage are."
- 15 May 2025 - "We do not have the intention to switch off anyone because there is freedom of expression that is enshrined in the constitution,” Kabogo said.