Wenyeji wavuna matunda Ushindi wa AFCON 2023
Uwekezaji wa zaidi ya dola 1bn (£0.79bn) uliotumika kuandaa michuano ya Afcon 2023 na nchi ya Ivory Coast katika kuboresha miundombinu nchini humo, na Rais wa nchi hiyo Alassane Ouattara huenda umezaa matunda baada ya Tembo wa Ivory Coast kulibakiza kombe nyumbani.
Tembo hao wanachukua dola 7m (£5.54m) kama pesa za zawadi, huku Nigeria wakikabidhiwa dola 4m na Shirikisho la Soka Afrika.
Kubwa limekuwa ni furaha kwa wananchi ambao wamejitokeza barabarani kuupokea ushindi huo walioupata na kukamilisha idadi ya makombe matatu waliyoyapata katika michuano hii ya Afcon ambapo la kwanza lilipatikana mwaka 1992, 2015 na sasa 2023
Hawa ni mashabiki walioonesha hisia zao baada ya Ivory Coast 🇨🇮 kutangazwa mshindi wa Afcon 2023.
🎥: @frankmavura
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw
18 Aug 2025
- Gachagua is set to be back in the country on Thursday, August 21.
18 Aug 2025
- Hundreds of youth frequent the facility.
18 Aug 2025
- The MPs have termed the stunt as both inappropriate and unlawful.
18 Aug 2025
- A businessman has been arraigned in court over allegations of defrauding a foreign national of Ksh.223 million in a fake gold deal.
18 Aug 2025
- A woman accused of defrauding a businesswoman of Ksh.36 million has been released on a Ksh.3 million cash bail.
18 Aug 2025
- Health Cabinet Secretary (CS) Aden Duale has announced plans to set up a joint committee with the CEOs of insurance companies across the country to tackle fraudulent activities that have been plaguing the Social Health Authority (SHA).
18 Aug 2025
- President William Ruto has vowed to ensure that Members of Parliament and Senators behind an extortion scheme called soko huru are apprehended.
18 Aug 2025
- The death toll from a blast at a gunpowder plant near Moscow rose to 20, with more than 100 wounded, the authorities said on Monday, as a probe began into possible industrial safety violations.
18 Aug 2025
- Campaign targets licensed manufacturers, retailers, and consumers involved in illegal alcohol and drug trade
18 Aug 2025
- Gachagua is set to be back in the country on Thursday, August 21.
18 Aug 2025
- The CS said he will not tolerate the resurgence of organised criminal groups
18 Aug 2025
- Hundreds of youth frequent the facility.
18 Aug 2025
- Interior Cabinet Secretary Kipchumba Murkomen has directed all sub-county security committees to include school, university, church, and business