Skip to main content
Skip to main content

Bunge la kitamaduni Samburu

  • | Citizen TV
    363 views
    Duration: 3:18
    Wazee wa jamii ya Wasamburuu hutoa mwelekeo wa jamii na kutatua mizozo kupitia vikao vya bunge lao linalojulikana kama "Napoo" . wazee hao hukokangamana katika eneo maalum ambako wanawake hawaruhusiwi ili kuzungumzia maswala yanayosibu jamii hiyo na kuafikia suluhu kwa pamoja.