Skip to main content
Skip to main content

Watu 14 wa familia moja wapoteza maisha kwenye ajali ya barabarani Kikopey, Nakuru

  • | Citizen TV
    19,488 views
    Duration: 3:11
    Familia moja kaunti ya Murang'a inaomboleza vifo vya watu 14 waliopata ajali ya barabarani hapo jana katika eneo la Kikopey kaunti ya Nakuru. Waliofariki kwenye familia hii ni pamoja na wazazi, wajukuu na wajomba waliokuwa safarini kuwatembea jamaa zao wagonjwa. jamaa wengine watatu wa familia hii wakiendelea kutibiwa hospitalini.